Profesa Said A. M. Khamis

“Tangu hapo nikagundua kuwa nimekutana na mshairi chipukizi gwiji, mwenye kipawa kikubwa chenye mwangwi wa kazi za washairi maarufu wa Kiswahili. Kazi za akina Muyaka bin Haji Al-Ghassany, Abdilatif Abdalla,  Ahmad Nassir wa Mvita, na akina Kamange na Sarahani wa Pemba.” – Kwenye Machozi Yamenishiya: Diwani ya Mohammed Ghassani