Nina furaha ya kumualika kwenye MSHAIRIKASTI mshairi kijana na mwenye kipaji wa Kiswahili kutoka Tanzania, Bashiru Abdallah, ambaye amechapisha diwani yake ya pili iitwayo Wino wa Dhahabu.
Tag: ushairi
A Chat with a Zanzibari poet, Nassor Kharusi
He is in the A-List of the contemporary Swahili poets. With his own efforts, he has been able to publish four books – Mama Usihuzunike being the latest. He is joining me in the CHAT to tell us his journey into the world of poetry.
A Chat with a Swahili young poet Bashiru Abdallah
Reading his verses and stanzas written in pure coastal Swahili, one can hardly notice that Bashiru Abdallah was born and raised far away from the sea shores of Tanzania. His mastery of the language is mind-blowing.
Mfalme Yuko Uchi: Diwani Mpya ya Mohammed Ghassani
NJOO uniulize Mohammed Khelef Ghassani ni nani na nitakupa vitambulisho vyake kadhaa. Kila kimoja kati yavyo kitamsibu. Kitajaa kama pishi. Continue reading “Mfalme Yuko Uchi: Diwani Mpya ya Mohammed Ghassani”