UCHAMBUZI

TUFUNUWE KITABU: Mafunzo kutoka The Parter-ship cha Mzee Jumbe

Marehemu Aboud Jumbe Mwinyi ndiye aliyekuwa rais wa pili wa Zanzibar baada ya Mapinduzi ya 1964 na akaja kuondolewa na Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1984 katika kile kinachoitwa “Kuchafuka Hali ya Hewa ya Kisiasa Zanzibar”. Miaka 10 baadaye alichapisha kitabu chake kinachozungumzia sakata zima la yeye kuondolewa madarakani na kuelezea msimamo wake juu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa zake kuchota mafunzo yaliyomo.