BLOG POSTS

TUFUNUWE KITABU: Mafunzo kutoka “Pan-Africanism or Pragmatism?” cha Prof. Issa Shivji

Wiki iliypota, Ismail Jussa alichambua kitabu cha “The Partner-ship: Miaka 30 ya Dhoruba” kilichoandikwa na Marehemu Aboud Jumbe Mwinyi, na leo anachambua cha Profesa Issa Shivji, Pan-Africanism or Pragmatism?”, ambacho ni muakisiko wa kile cha Marehemu Jumbe.

UCHAMBUZI

TUFUNUWE KITABU: Mafunzo kutoka The Parter-ship cha Mzee Jumbe

Marehemu Aboud Jumbe Mwinyi ndiye aliyekuwa rais wa pili wa Zanzibar baada ya Mapinduzi ya 1964 na akaja kuondolewa na Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1984 katika kile kinachoitwa “Kuchafuka Hali ya Hewa ya Kisiasa Zanzibar”. Miaka 10 baadaye alichapisha kitabu chake kinachozungumzia sakata zima la yeye kuondolewa madarakani na kuelezea msimamo wake juu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa zake kuchota mafunzo yaliyomo.

BLOG POSTS

10 Forgotten Heroes of Tanganyika: #1 – Kleist Abdullah Sykes

The last decades of 1800 found Tanganyika in the midst of nationalist movements and wars against German invasion and occupation. One man behind the onset of these wars was Abushiri (Bashir bin Salim Al-Harthi from Zanzibar), who was based at Pangani, Tanga. Continue reading “10 Forgotten Heroes of Tanganyika: #1 – Kleist Abdullah Sykes”

BLOG POSTS

Abushiri: A true warrior who makes Zanzibar proud

By the time Sultan Said bin Sultan of Zanzibar and Oman died, it was already an open secret that the Europeans had already planned to take over all his territories in East Africa. They would do that step by step, but roughly and – of course – brutally. Continue reading “Abushiri: A true warrior who makes Zanzibar proud”