Jamii ya Kizanzibari inapitia kwenye vipindi vyake vya mabadiliko kama zilivyo jamii nyengine zozote za kibinaadamu. Kubadilika kwa jamii huwa ni sehemu muhimu ya maisha na, kwa hakika, si adui wa maisha ya mwanaadamu. Continue reading “Tafrani: Tamthiliya ya Vita Baina ya Ukale na Usasa”