UCHAMBUZI

Zanzibar ijifunze maana ya mapinduzi kutoka Oman

Kwa makusudi kabisa, wenye satwa ya kutunga sera na mwelekeo wa taifa letu wanataka ionekane kama kwamba uhusiano kati ya Zanzibar na Oman ulianza mwaka 1832 pale Sayyid Said bin Sultan Al-Busaid alipoanzisha utawala wake kisiwani Unguja na kisha kuhamishia rasmi makao yake makuu kutoka Maskat na kuyaleta kisiwani hapo miaka minane baadaye. Wakirudi nyuma zaidi, watakutajia 1698 baada ya kumalizika Vita vya Wareno. Continue reading “Zanzibar ijifunze maana ya mapinduzi kutoka Oman”