BOOKS, eBOOKS, PAPERBACK

Siwachi Kusema: The Freedom Is Jailed

Expressing our thoughts is one way of communicating and communication is, itself, one of basic human characteristics. A person who does not communicate – or is made not to communicate – lacks something so significant to their well-being that is similar to their breathing. Continue reading “Siwachi Kusema: The Freedom Is Jailed”

KISWAHILI KINA WENYEWE

Siwachi Kusema: Uhuru U Kifungoni

Kusema ni moja kati ya njia za kuwasiliana na kuwasiliana kwenyewe ni miongoni mwa tabia za viumbe hai, kwa mujibu wa wataalamu wa mawasiliano. Mtu ambaye hawasiliani, au hana uwezo wa kuwasiliana, huchukuliwa kuwa amekosa kitu muhimu sana kwenye maisha yake, kama vile ambavyo angelichukuliwa mtu asiyeweza kupumua, kutoa uchafu na ama kutembea. Continue reading “Siwachi Kusema: Uhuru U Kifungoni”