KISWAHILI KINA WENYEWE, UCHAMBUZI

Baina ya Mkosaji, Mkoseaji na Mkosefu

Mkosaji, mkoseaji na mkosefu ni watu watatu tafauti kwa Kiswahili, ingawa kuna mahala panaweza kuwa na mgusano wa kimantiki.

Continue reading “Baina ya Mkosaji, Mkoseaji na Mkosefu”
KISWAHILI KINA WENYEWE

Maana nne za “Likikupata, patana nalo”

Karibuni nilikuwa kwenye ziara kwenye mataifa mawili ya Kiarabu – Oman iliyo Ghuba na Morocco iliyo Afrika Kaskazini – ambayo yana tafauti nyingi baina yao, lakini pia yana mfanano mkubwa kwenye mtazamo wao kuelekea lugha ya Kiarabu. Watu wa mataifa yote mawili watakuambia sentensi moja inayofanana: “Kiarabu ni lugha kongwe na ya kihisabati!” Continue reading “Maana nne za “Likikupata, patana nalo””

KISWAHILI KINA WENYEWE

Baina ya mkandarasi na kandarasi – 2

Nimetangulia kusema kwamba hayo niliyoyaeleza kabla hayakuwa yamenishughulisha sana kwa sababu, mtu aweza kuwa na hiari ya kutumia maneno kandarasi/makandarasi au mkandarasi/wakandarasi, akusudiapo kuwa ni mtu. (Mimi nitaendelea kutumia kandarasi/makandarasi – tena bila ya wasiwasi wowote!) Continue reading “Baina ya mkandarasi na kandarasi – 2”