WAKATI Dira ilipoanza kuuzungumzia ujio wa SAFINA, kuna waliodhani kuwa huo ulikuwa uzushi. ‘Mafundi’ wenyewe wa SAFINA walipojitokeza kutangaza kuwa wamo kazini kuiunda, wakaonekana wanatania tu. Na sasa, ikiwa safari yake imeshaanza, swali linaloulizwa ni ikiwa je, kweli itafika salama Suuqul Mathaan!?