Bwana Maulid Mshangama Haji aliajiriwa katika Utumishi wa Serikali mara aliporejea kutoka masomoni Makerere na akajikuta katika msukosuko baada ya kupingana na Kamishna Mkuu wa Utawala miongoni mwa Maofisa wa Kikoloni wa Kiingereza Zanzibar. Raghba za ujananchi zilimpelekea kuingia kwenye siasa akiunga mkono chama cha Zanzibar Nationalist Party (ZNP) na akawa mmoja miongoni mwa mawaziri vijana kwenye serikali ya mwanzo iliyokuja kupinduliwa Januari 1964. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa za kitabu chake “Sowing the Wind: Zanzibar and Pemba Before the Revolution.”
Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Sowing the Wind cha Maulid Mshangama”Tag: Revolution
Zanzibar and Oman: A Story of Two ‘Revolutions’ and Lessons from the Omani Renaissance
Some people want us to believe that the relations between Oman and Zanzibar started in 1698 after the end of the Portuguese War on the coasts of East Africa, when Omanis helped their brethren to defeat the first European power on the Coast. Continue reading “Zanzibar and Oman: A Story of Two ‘Revolutions’ and Lessons from the Omani Renaissance”
A Fisherman and His Sultan Friend: A Story of Shared Love for Sea Life in Pre-Revolution Zanzibar
Ali Salim Hamed, alias Kimwanga, is now in his 80s, old, sick and, above all, heart-broken. But half a century ago, he was a very ambitious young fisherman on the sea shores of Zanzibar Stone Town, not far from the seat of the Sultanate, where one day the sea adventure allowed him to befriend the last Sultan of Zanzibar, Jamshid bin Abdallah Al Busaidi, who was known for his love for fishing and hunting. Continue reading “A Fisherman and His Sultan Friend: A Story of Shared Love for Sea Life in Pre-Revolution Zanzibar”