BLOG POSTS

TUFUNUWE KITABU: Revolution in Zanzibar cha Don Petterson

Wakati Zanzibar inapata uhuru wake uliodumu kwa mwezi mmoja kabla ya kupinduliwa na kisha kuunganishwa na Tanganyika kulikoifanya iwe sehemu ya dola la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwanadiplomasia wa Kimarekani, Don Petterson, alikuwa kwenye mwanzoni mwa kazi zake za kibalozi nchini Zanzibar. Kupitia kurasa za kitabu hiki, anazungumza alichokishuhudia na alivyokifahamu kwa mtazamo wa Kimarekani.

Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Revolution in Zanzibar cha Don Petterson”
BLOG POSTS

TUFUNUWE KITABU: Revolution in Zanzibar cha John Okello

Maandishi rasmi ya historia ya Zanzibar yanampuuzia sana John Okello, lakini mwenyewe aliwahi kuandika jinsi ulivyokuwa ushiriki wake kwenye Mapinduzi ya Januari 1964. Leo Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa za kitabu cha REVOLUTION IN ZANZIBAR chake Okello.

Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Revolution in Zanzibar cha John Okello”