BLOG POSTS

TUFUNUWE KITABU: Sowing the Wind cha Maulid Mshangama

Bwana Maulid Mshangama Haji aliajiriwa katika Utumishi wa Serikali mara aliporejea kutoka masomoni Makerere na akajikuta katika msukosuko baada ya kupingana na Kamishna Mkuu wa Utawala miongoni mwa Maofisa wa Kikoloni wa Kiingereza Zanzibar. Raghba za ujananchi zilimpelekea kuingia kwenye siasa akiunga mkono chama cha Zanzibar Nationalist Party (ZNP) na akawa mmoja miongoni mwa mawaziri vijana kwenye serikali ya mwanzo iliyokuja kupinduliwa Januari 1964. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa za kitabu chake “Sowing the Wind: Zanzibar and Pemba Before the Revolution.”

Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Sowing the Wind cha Maulid Mshangama”
BLOG POSTS, KISWAHILI KINA WENYEWE

SIMULIZI ZA BI TIME: Hadithi za Ncha Saba

JAMII za Waswahili daima zimekuwa na mihimili inayoshikilia silka na tamaduni zake. Zimekuwa na taasisi imara za ujenzi na uendelezaji wa maisha, mitazamo, falsafa na imani zao. Kuanzia chini kabisa hadi juu kabisa, maisha ya watu wa Uswahilini huwa si matupu. Kila ombwe hujazwa kwa tanzu, bahari na mikondo ya sanaa na usanii, fasihi na ufasaha.

Continue reading “SIMULIZI ZA BI TIME: Hadithi za Ncha Saba”
BLOG POSTS

Letter from Pemba: On Sheha Mpemba from Pemba

On August 2, 2021, CCM publicity secretariat announced that the MP elect of Konde Constituency, Sheha Mpemba, had resigned. According to the press release, the incumbent “resigned due to family pressure”. Mpemba’s resignation surprised CCM and opposition members alike because he abandoned the seat he had won through blood and sweat. 

Continue reading “Letter from Pemba: On Sheha Mpemba from Pemba”
BLOG POSTS

The Roots, The Stem and The Branches: In Search of Myself

By the time I was growing up in the late 1990s, it was no longer fashionable for a young person to have creamed his family tree. Seemingly, the tradition was discouraged some decades ago during the climax of liberation movements and informally banned after the shock waves of the 1964 violence. Continue reading “The Roots, The Stem and The Branches: In Search of Myself”