KISWAHILI KINA WENYEWE, UCHAMBUZI

Baina ya Mkosaji, Mkoseaji na Mkosefu

Mkosaji, mkoseaji na mkosefu ni watu watatu tafauti kwa Kiswahili, ingawa kuna mahala panaweza kuwa na mgusano wa kimantiki.

Continue reading “Baina ya Mkosaji, Mkoseaji na Mkosefu”