KISWAHILI KINA WENYEWE

Mwanong’ona jambo gani?

Nasikia mwasemani, mungalijinong’onea 
Nasikia kwa yakini, njama mnonipangia 
Nasikia tambueni, kama mwataka nibwia 
Mwanong’ona kitu gani, na yote nayasikia?
Continue reading “Mwanong’ona jambo gani?”