BOOKS, eBOOKS, PAPERBACK

Siwachi Kusema: The Freedom Is Jailed

Expressing our thoughts is one way of communicating and communication is, itself, one of basic human characteristics. A person who does not communicate – or is made not to communicate – lacks something so significant to their well-being that is similar to their breathing. Continue reading “Siwachi Kusema: The Freedom Is Jailed”

ANDAMO
BOOKS, eBOOKS, PAPERBACK

‘Andamo’: A Young Traveller on Journey

Kiswahili has at least three meanings of the word ‘Andamo‘, which carries the title of this book. Depending on which context it has been used, Swahili people use this word to describe situations or actions. One of which is the situation of sticking tightly to something and never let it go. Continue reading “‘Andamo’: A Young Traveller on Journey”

KISWAHILI KINA WENYEWE

Sahihi ni Ipi: Sala au Swala?

بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ

رَبِّ اشْرَحْ لِي صَدْرِي ﴿٢٥﴾ وَيَسِّرْ لِي أَمْرِي ﴿٢٦﴾ وَاحْلُلْ عُقْدَةً مِّن لِّسَانِي ﴿٢٧﴾ يَفْقَهُوا قَوْلِي

Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu, Na unifanyie nyepesi kazi yangu, Na ulifungue fundo lililo katika ulimi wangu, Wapate kufahamu maneno yangu. (Suratu Maryam Aya ya 25-28)

UTANGULIZI

Mimi si mtaalamu wa lugha, wala si mweledi katika uandishi. Sikuondokea kujishughulisha na kazi ya uandishi, na bahati mbaya mpaka sasa nimebaki vivyo hivyo. Japokuwa sina ufasaha pia katika uzungumzaji, lakini huwa ninafadhilisha kufikisha makusudio yangu kwa njia ya uzungumzaji kuliko uandishi. Kwa sababu hiyo, nimekuwa nikitembea nalo kichwani mwangu kwa muda mrefu, dukuduku langu la haya nitakayoyaeleza katika andiko hili, mpaka hivi karibuni ilipotokea sababu ya heri iliyonipa msukumo wa kukaa kitako na kuchapa maneno haya. Continue reading “Sahihi ni Ipi: Sala au Swala?”

KISWAHILI KINA WENYEWE

Maana nne za “Likikupata, patana nalo”

Karibuni nilikuwa kwenye ziara kwenye mataifa mawili ya Kiarabu – Oman iliyo Ghuba na Morocco iliyo Afrika Kaskazini – ambayo yana tafauti nyingi baina yao, lakini pia yana mfanano mkubwa kwenye mtazamo wao kuelekea lugha ya Kiarabu. Watu wa mataifa yote mawili watakuambia sentensi moja inayofanana: “Kiarabu ni lugha kongwe na ya kihisabati!” Continue reading “Maana nne za “Likikupata, patana nalo””