Kwenye mfululizo mpya wa LULU ZA ZANZIBAR, ambao unakusudia kuwasaka Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi yao na waliofika hatua kubwa katika taaluma ama kazi zao, tunaanza na Profesa Abdulaziz Yussuf Lodhi, mzaliwa wa Mkunazini, Mji Mkongwe, kisiwani Unguja, ambaye kwa sasa ni mstaafu anayeishi nchini Sweden.
Tag: kiswahili
SIMULIZI ZA BI TIME: Hadithi za Ncha Saba
JAMII za Waswahili daima zimekuwa na mihimili inayoshikilia silka na tamaduni zake. Zimekuwa na taasisi imara za ujenzi na uendelezaji wa maisha, mitazamo, falsafa na imani zao. Kuanzia chini kabisa hadi juu kabisa, maisha ya watu wa Uswahilini huwa si matupu. Kila ombwe hujazwa kwa tanzu, bahari na mikondo ya sanaa na usanii, fasihi na ufasaha.
Continue reading “SIMULIZI ZA BI TIME: Hadithi za Ncha Saba”Mshairi Bashiru Abdallah wa Wino wa Dhahabu
Nina furaha ya kumualika kwenye MSHAIRIKASTI mshairi kijana na mwenye kipaji wa Kiswahili kutoka Tanzania, Bashiru Abdallah, ambaye amechapisha diwani yake ya pili iitwayo Wino wa Dhahabu.
A Chat with a Zanzibari poet, Nassor Kharusi
He is in the A-List of the contemporary Swahili poets. With his own efforts, he has been able to publish four books – Mama Usihuzunike being the latest. He is joining me in the CHAT to tell us his journey into the world of poetry.