BLOG POSTS

LULU ZA ZANZIBAR (SILSILA 1): Profesa Abdulaziz Lodhi, bingwa wa taaluma za lugha

Kwenye mfululizo mpya wa LULU ZA ZANZIBAR, ambao unakusudia kuwasaka Wazanzibari wanaoishi nje ya nchi yao na waliofika hatua kubwa katika taaluma ama kazi zao, tunaanza na Profesa Abdulaziz Yussuf Lodhi, mzaliwa wa Mkunazini, Mji Mkongwe, kisiwani Unguja, ambaye kwa sasa ni mstaafu anayeishi nchini Sweden.

BLOG POSTS, KISWAHILI KINA WENYEWE

SIMULIZI ZA BI TIME: Hadithi za Ncha Saba

JAMII za Waswahili daima zimekuwa na mihimili inayoshikilia silka na tamaduni zake. Zimekuwa na taasisi imara za ujenzi na uendelezaji wa maisha, mitazamo, falsafa na imani zao. Kuanzia chini kabisa hadi juu kabisa, maisha ya watu wa Uswahilini huwa si matupu. Kila ombwe hujazwa kwa tanzu, bahari na mikondo ya sanaa na usanii, fasihi na ufasaha.

Continue reading “SIMULIZI ZA BI TIME: Hadithi za Ncha Saba”