Bi Fatma Jinja aliyaishi maisha yake akipitia milima na mabonde na sehemu kubwa ya namna alivyokabiliana nayo haikuwahi kufahamika na waliokuwa kando yake ambao, badala yake, waliyatafsiri makabiliano hayo kwa wapendavyo wenyewe. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa za moja kati ya vitabu vyake vitano, Gone With the Tide, kinachosimulia hadithi ya maisha yake.
Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Gone With the Tide cha Fatma Jinja”