Leo, ismail Jussa anachambuwa jinsi Bwana Maulid Mshangama kupitia kitabu chake “Zanzibar: The Last Years of the Protectorate” anavyotowa ushahidi wa kina wa namna utawala wa Waingereza ulivyopanga vitimbi na hila za makusudi dhidi ya Zanzibar kuhakikisha kuwa visiwa hivyo vya Bahari ya Hindi kamwe havisimami kama taifa huru linalojitegemea.
Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Zanzibar: The Last Years of the Protectorate”