Nina furaha ya kumualika kwenye MSHAIRIKASTI mshairi kijana na mwenye kipaji wa Kiswahili kutoka Tanzania, Bashiru Abdallah, ambaye amechapisha diwani yake ya pili iitwayo Wino wa Dhahabu.
Tag: Bashiru Abdallah
A Chat with a Swahili young poet Bashiru Abdallah
Reading his verses and stanzas written in pure coastal Swahili, one can hardly notice that Bashiru Abdallah was born and raised far away from the sea shores of Tanzania. His mastery of the language is mind-blowing.