Kiswahili has at least three meanings of the word ‘Andamo‘, which carries the title of this book. Depending on which context it has been used, Swahili people use this word to describe situations or actions. One of which is the situation of sticking tightly to something and never let it go. Continue reading “‘Andamo’: A Young Traveller on Journey”
Tag: andamo
Siwachi Kusema: Uhuru U Kifungoni
Kusema ni moja kati ya njia za kuwasiliana na kuwasiliana kwenyewe ni miongoni mwa tabia za viumbe hai, kwa mujibu wa wataalamu wa mawasiliano. Mtu ambaye hawasiliani, au hana uwezo wa kuwasiliana, huchukuliwa kuwa amekosa kitu muhimu sana kwenye maisha yake, kama vile ambavyo angelichukuliwa mtu asiyeweza kupumua, kutoa uchafu na ama kutembea. Continue reading “Siwachi Kusema: Uhuru U Kifungoni”
Andamo: Sauti ya ushairi kutoka ughaibuni
MIAKA mitano iliyopita nilipata kueleza namna ambavyo wanafunzi wa Chuo cha SOAS (School of Oriental and African Studies) cha nchini Uingereza wanavyofanya juhudi kubwa kujifunza lugha ya Kiswahili.
Continue reading “Andamo: Sauti ya ushairi kutoka ughaibuni”