UCHAMBUZI

Mayatima na wajane wa kisiasa hadi lini Zanzibar?

Ali Juma Suleiman alivamiwa na kikosi kikubwa cha watu usiku wa tarehe 26 Septemba mwaka huu nyumbani kwake Mtoni, Unguja. Mke wake, Bi Rehema Nassor Juma, anasema alishuhudia askari wenye sare za vikosi vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) wakiwa na mitutu ya bunduki, marungu na mapanga. Continue reading “Mayatima na wajane wa kisiasa hadi lini Zanzibar?”