Sir James Mancham alikuwa rais wa kwanza wakati Seychelles inapata uhuru wake mwaka 1976, lakini akapinduliwa mwaka mmoja tu baada ya kuingia madarakani katika mapinduzi ambayo mwenyewe anaituhumu Tanzania kuhusika. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa za kitabu alichokiandika mwanadiplomasia huyo wa kimataifa kuelezea maisha yake: Seychelles Global Citizen.
Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Seychelles Global Citizen cha Sir James Mancham”