Wiki iliypota, Ismail Jussa alichambua kitabu cha “The Partner-ship: Miaka 30 ya Dhoruba” kilichoandikwa na Marehemu Aboud Jumbe Mwinyi, na leo anachambua cha Profesa Issa Shivji, Pan-Africanism or Pragmatism?”, ambacho ni muakisiko wa kile cha Marehemu Jumbe.