KISWAHILI KINA WENYEWE

Wapi neno mwanana hutumika?

abdilatif_abdalla_2Mtu mwanana, mti mwanana, upepo mwanana, LAKINI Kiswahili chanana, nyumba nyanana. Mzizi wa sifa hii ni -anana. Kwa hivyo, inahitaji kiambishi awali cha jina la kitu kinachopawa sifa. Najua kwamba kuna wengi watumiao “mwanana” kwa kila ngeli. Kwa maoni yangu, hicho si Kiswahili fasaha.

Continue reading “Wapi neno mwanana hutumika?”

KISWAHILI KINA WENYEWE

Ni “tanzia” au “taazia”?

_dsc1163Chembelecho (au chambilecho, au chambacho) msemo wa Kiswahili, “Kipya kinyemi, kingawa kidonda.” Ni dasturi ya baadhi ya watu kuvutiwa na kipya kitokacho kwengine, hata kama tangu hapo wanacho chao wenyewe kifananacho na hicho cha kigeni. Hili swala la maneno kama “mubashara” lina tanzu mbili. Utanzu wa kwanza ni huo wa kupenda kukimbilia maneno  ya kigeni, hata kama tunayo yetu wenyewe yenye maana hiyo hiyo. Kama ilivyokwisha elezwa, kabla ya habari “mubashara” tumekuwa tukisema habari/ ripoti za moja kwa moja, au za papo kwa papo (wala si “papo” pekee).

 

Continue reading “Ni “tanzia” au “taazia”?”

BLOG POSTS

Kenya Twendapi?: Re-reading Abdilatif Abdalla’s pamphlet 50 years after independence

Kai Kresse

ABSTRACT

The pamphlet Kenya: Twendapi? (Kenya: Where are we heading?) is a text often referred to but rarely read or analysed. Abdilatif Abdalla wrote it as a twenty-two-year-old political activist of the KPU opposition as a critique of the dictatorial tendencies of Jomo Kenyatta and his KANU government in 1968, and consequently suffered three years of isolation in prison. Many (at least on the East African political and literary scene) know about Kenya: Twendapi? but few seem to have read it – indeed, it seems almost unavailable to read. Continue reading “Kenya Twendapi?: Re-reading Abdilatif Abdalla’s pamphlet 50 years after independence”