
Wapi neno mwanana hutumika?

Poet. Multimedia Journalist. Author
Chembelecho (au chambilecho, au chambacho) msemo wa Kiswahili, “Kipya kinyemi, kingawa kidonda.” Ni dasturi ya baadhi ya watu kuvutiwa na kipya kitokacho kwengine, hata kama tangu hapo wanacho chao wenyewe kifananacho na hicho cha kigeni. Hili swala la maneno kama “mubashara” lina tanzu mbili. Utanzu wa kwanza ni huo wa kupenda kukimbilia maneno ya kigeni, hata kama tunayo yetu wenyewe yenye maana hiyo hiyo. Kama ilivyokwisha elezwa, kabla ya habari “mubashara” tumekuwa tukisema habari/ ripoti za moja kwa moja, au za papo kwa papo (wala si “papo” pekee).
ABSTRACT
The pamphlet Kenya: Twendapi? (Kenya: Where are we heading?) is a text often referred to but rarely read or analysed. Abdilatif Abdalla wrote it as a twenty-two-year-old political activist of the KPU opposition as a critique of the dictatorial tendencies of Jomo Kenyatta and his KANU government in 1968, and consequently suffered three years of isolation in prison. Many (at least on the East African political and literary scene) know about Kenya: Twendapi? but few seem to have read it – indeed, it seems almost unavailable to read. Continue reading “Kenya Twendapi?: Re-reading Abdilatif Abdalla’s pamphlet 50 years after independence”