ZANZIBAR DAIMA PUBLISHING

Tareikh Series Season 3: Between European Colonialism and Omani Rule

Is Omanis’ rule in East Africa similar to European colonialism? Sheikh Riadh Al Busaidi is explaining the differences.

BLOG POSTS, ZANZIBAR DAIMA PUBLISHING

Dhuluma Iliyodumu na Kudamirisha

Mwaka wa nane sasa huu, Wazanzibari walio wengi wamekataa kushawishika kuwa viongozi wa Uamsho wanaoshikiliwa na dola walitenda kosa lolote linalotajwa na dola hiyo. Kwa miaka yote hii minane, msimamo wao umesalia kuwa ule ule mmoja: kwamba hii ni dhuluma ya kisiasa iliyotendwa kwao na adhabu waliyobebeshwa kwa niaba ya Wazanzibari wenzao. Walipelekwa “wakanyelee ndooni” (kwa maneno ya Balozi Seif Ali Iddi) ili liwe funzo kwa wengine wenye mtazamo wa kisiasa waliokuwa wakiuhubiri viongozi hawa hadharani – msimamo wa ZANZIBAR HURU.

Continue reading “Dhuluma Iliyodumu na Kudamirisha”
BLOG POSTS, BOOKS, eBOOKS, KISWAHILI KINA WENYEWE, PAPERBACK, ZANZIBAR DAIMA PUBLISHING

Mfalme Yuko Uchi: Diwani Mpya ya Mohammed Ghassani

NJOO uniulize Mohammed Khelef Ghassani ni nani na nitakupa vitambulisho vyake kadhaa. Kila kimoja kati yavyo kitamsibu.  Kitajaa kama pishi. Continue reading “Mfalme Yuko Uchi: Diwani Mpya ya Mohammed Ghassani”