Is Omanis’ rule in East Africa similar to European colonialism? Sheikh Riadh Al Busaidi is explaining the differences.
Category: ZANZIBAR DAIMA PUBLISHING
A self-publishing online platform established by Mohammed Ghassani for the sole purpose of getting Swahili literature online.
Tareikh Series Season 3: The Coming of Sayyid Said to East Africa
In the Episode 3 of Season 3 of Tareikh Series, Sheikh Riadh Al Busaidi is taking through the times and actions when Sayyid Said bin Sultan was moving his throne from Oman to Zanzibar.
Continue reading “Tareikh Series Season 3: The Coming of Sayyid Said to East Africa”Dhuluma Iliyodumu na Kudamirisha
Mwaka wa nane sasa huu, Wazanzibari walio wengi wamekataa kushawishika kuwa viongozi wa Uamsho wanaoshikiliwa na dola walitenda kosa lolote linalotajwa na dola hiyo. Kwa miaka yote hii minane, msimamo wao umesalia kuwa ule ule mmoja: kwamba hii ni dhuluma ya kisiasa iliyotendwa kwao na adhabu waliyobebeshwa kwa niaba ya Wazanzibari wenzao. Walipelekwa “wakanyelee ndooni” (kwa maneno ya Balozi Seif Ali Iddi) ili liwe funzo kwa wengine wenye mtazamo wa kisiasa waliokuwa wakiuhubiri viongozi hawa hadharani – msimamo wa ZANZIBAR HURU.
Continue reading “Dhuluma Iliyodumu na Kudamirisha”Mfalme Yuko Uchi: Diwani Mpya ya Mohammed Ghassani
NJOO uniulize Mohammed Khelef Ghassani ni nani na nitakupa vitambulisho vyake kadhaa. Kila kimoja kati yavyo kitamsibu. Kitajaa kama pishi. Continue reading “Mfalme Yuko Uchi: Diwani Mpya ya Mohammed Ghassani”