BLOG POSTS, BOOKS

TUFUNUWE KITABU: Ahsante, Prof. Abdulrazak Gurnah

“Ahsante, Prof. Abdulrazak Gurnah!” ndiyo maudhui ya leo kwenye TUFUNUWE KITABU na Ismail Jussa, ambapo tunazungumzia nafasi ya kazi za mwanafasihi huyu wa kimataifa na mshindi wa Nishani ya Nobel ya Fasihi 2021 katika kuinyanyuwa hadhi na nafasi ya Zanzibar ulimwenguni.

BLOG POSTS, BOOKS, eBOOKS, KISWAHILI KINA WENYEWE, PAPERBACK, ZANZIBAR DAIMA PUBLISHING

Mfalme Yuko Uchi: Diwani Mpya ya Mohammed Ghassani

NJOO uniulize Mohammed Khelef Ghassani ni nani na nitakupa vitambulisho vyake kadhaa. Kila kimoja kati yavyo kitamsibu.  Kitajaa kama pishi. Continue reading “Mfalme Yuko Uchi: Diwani Mpya ya Mohammed Ghassani”