BLOG POSTS

Tareikh Series Season 3: Oman and East Africa Before Busaidi Rule

Sheikh Riadh Al Busaidi is back with his Tareikh Series and in this Season 3, he will be talking on the relations between Oman and East Africa before, during and after the coming of the Busaidi rule.

Continue reading “Tareikh Series Season 3: Oman and East Africa Before Busaidi Rule”
BLOG POSTS

TUFUNUWE KITABU: Revolution in Zanzibar cha Don Petterson

Wakati Zanzibar inapata uhuru wake uliodumu kwa mwezi mmoja kabla ya kupinduliwa na kisha kuunganishwa na Tanganyika kulikoifanya iwe sehemu ya dola la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwanadiplomasia wa Kimarekani, Don Petterson, alikuwa kwenye mwanzoni mwa kazi zake za kibalozi nchini Zanzibar. Kupitia kurasa za kitabu hiki, anazungumza alichokishuhudia na alivyokifahamu kwa mtazamo wa Kimarekani.

Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Revolution in Zanzibar cha Don Petterson”
BLOG POSTS

Maisha na Nyakati za Habib Ahmad bin Sumeit kupitia ‘Sufis and Scholars of the Sea’ cha Anne Bang

Wakati Ulimwengu wa Kiislamu ukikumbuka miaka 100 tangu kutawafu kwa ulamaa mkubwa wa Afrika Mashariki na Bahari nzima ya Hindi, Habib Ahmad bin Sumeit, Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa za kitabu kiitwacho “Sufis and Scholars of the Sea” kilichoandikwa na mtafiti maarufu wa Norway, Profesa Anne Bang, kinachoangazia maisha na nyakati za mwanazuoni huyo mkubwa kabisa wa zama zake na pia safari na maingiliano ya watu kupitia Bahari ya Hindi yalivyochangia kueneza elimu ya dini ya Kiislamu katika miji ya Mwambao wa Afrika Mashariki kwa karne nyingi.

Continue reading “Maisha na Nyakati za Habib Ahmad bin Sumeit kupitia ‘Sufis and Scholars of the Sea’ cha Anne Bang”
BLOG POSTS

TUFUNUWE KITABU: Gone With the Tide cha Fatma Jinja

Bi Fatma Jinja aliyaishi maisha yake akipitia milima na mabonde na sehemu kubwa ya namna alivyokabiliana nayo haikuwahi kufahamika na waliokuwa kando yake ambao, badala yake, waliyatafsiri makabiliano hayo kwa wapendavyo wenyewe. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa za moja kati ya vitabu vyake vitano, Gone With the Tide, kinachosimulia hadithi ya maisha yake.

Continue reading “TUFUNUWE KITABU: Gone With the Tide cha Fatma Jinja”