BLOG POSTS

TUFUNUWE KITABU: Babu: I Saw the Future and It Works

Profesa Abdulrahman Mohamed Babu alikuwa mmoja kati ya wanasiasa mashuhuri wa Zanzibar, ambao fikra zake ziliwaathiri wanasiasa wengi wakubwa na wadogo wa zama zake lakini – kama ilivyo kwa wanasiasa wengine wa aina yake – si mengi yanayofahamika miongoni mwa vijana wa sasa kumuhusu. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kitabu cha ‘Babu: I Saw the Future and It Works’ kilichohaririwa na Marehemu Profesa Haroub Othman kikikusanya maandishi ya mwenyewe Profesa Babu na wasomi wengine.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.