KISWAHILI KINA WENYEWE

“Batu bawili bana biti bitatu” – Viswahili vya Kiswahili

Unaposikia “Batu bawili bana biti bitatu” unafahamu nini? Watu wa kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekuwa wakitumia Kiswahili kwa karne kadhaa sasa, ila suali kubwa ni ikiwa wanatumia Kiswahili cha aina gani? Bonyeza hapa kumsikiliza Mhadhiri wa Kiswahili kwenye Chuo Kikuu cha Lubumbashi, George Mulumbwa akizungumza na Mohammed Khelefjuu ya kukua na kutumika kwa Kiswahili kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Chanzo: Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.