KISWAHILI KINA WENYEWE

Fasihi ya Kiswahili baina ya ukale na usasa

“Kiswahili kimeingiliwa” ndivyo wanavyoamini wahafidhina wa lugha hii – wale ambao wanaamini kuwa mabadiliko yoyote yanayoingia kwenye lugha yana athari na hatari ya moja kwa moja ya kupoteza uhalisia wa lugha yenyewe na hivyo uwezekano wa hata kukiua kabisa Kiswahili.

Kuingiliwa huku kwa Kiswahili sio tu kwenye matamshi na maneno, bali pia kwenye tanzu muhimu ya fasihi, ambayo kwa sasa inashuhudia kuibuka kwa kile kilichopewa jina la “Fasihi-Pendwa” au fasihi ya kisasa. Kwa namna gani fasihi hiyo inatafautiana na fasihi ya kale au kama wengine wanavyoiita “Fasihi Halisi”?

Fuatana na Dk. Aldin Mutembei wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam hapa kujifunza mengi juu ya hayo, pamoja na kusikia juu ya nadharia mpya ya Korasi katika uchambuzi wa fasihi, nadharia ambayo imetungwa na mwenyewe Dk. Mutembei.

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.