KISWAHILI KINA WENYEWE

Vituo vya redio za FM vyakisongoa Kiswahili

Ingawa kuongezeka kwa vituo vya redio vinavyotumia lugha ya Kiswahili kwenye maeneo ya Afrika Mashariki kulitazamiwa kuwe neema kwa lugha hiyo, wasomi na wataalamu wa lugha wanahofia kwamba aina ya Kiswahili kinachotumiwa kwenye vituo hivyo vya redio kinakwamisha maendeleo halisi ya Kiswahili. Msikilize hapa Profesa Ken Walibora akizungumzia mashaka aliyonayo juu ya namna Kiswahili “kinavyopotoshwa” kwenye vituo vya redio za FM nchini Kenya na Tanzania.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.