KISWAHILI KINA WENYEWE

Kiswahili kama ‘linguafranca’ nje ya Afrika

Mazoea ya wengi ni kwamba lugha zinazotumika kama kiunganisho cha watu wenye lugha tafauti za asili (linguafranca) ni lugha za Ulaya kama Kiingereza, Kihispania na Kifaransa kwa Waafrika, lakini sio lugha za Kiafrika.

Lakini bonyeza hapa kuwasikiliza Kelly Askew kutoka Marekani, Mikhail Goromov kutoka Urusi na Uta Reuster-Jahn kutoka Ujerumani wakitumia Kiswahili kama lugha ya kuwasiliana wao kwa wao, huku kila mmoja akiwa na lugha mama iliyo tafauti na mwenzake.

Chanzo: http://www.dw.de/kiswahili-kama-linguafranca-nje-ya-afrika/a-17528771

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.