KISWAHILI KINA WENYEWE

Ukuwaji na maharibiko ya Kiswahili

Yumkini changamoto kubwa kuliko zote kwa wapenzi wa lugha ya Kiswahili ni kuiendeleza lugha hiyo na wakati wakiingiza maneno na miundo ya lugha za kigeni zilizo mbali kabisa na utamaduni wa Mswahili.

Je, Kiswahili kinakumbwa na mabadiliko gani kwa sasa? Na je, kukuwa na kubadilika kwa Kiswahili kunamaanisha kuiondoa lugha hiyo kwenye asili yake? Profesa Farouk Topan, bingwa wa taaluma za Kiswahili anajaribu kujibu maswali haya na mengineyo. Bonyeza hapa kumsikiliza.

Chanzo: Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle, Ujerumani

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.