KISWAHILI KINA WENYEWE

Ubantu na ukrioli wa Kiswahili

Ingawa nadharia pekee inayosomeshwa vyuoni ni kwamba Kiswahili ni Kibantu kwa asili na kwa dhati yake, bado kuna hoja inayosema kwamba asili ya lugha hii ya upwa wa Afrika ya Mashariki ni mchanganyiko.

Katika sehemu hii ya mfululizo wa makala za Kiswahili Kina Wenyewe, Mohammed Khelef anazungumza na mtafiti na mtaalamu wa Sanaa na Lugha kutoka Chuo Kikuu cha Qaboos nchini Oman, Profesa Ibrahim Noor Sharif, ambaye anahoji kwamba Kiswahili kilichopo sasa kimeanza kutumika karne ya 16 baada ya ujio wa Wabantu kwenye eneo la mashariki mwa Afrika, na sio kabla ya hapo.

Bonyeza hapa kusikiliza makala kamili.

Chanzo: Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle, Ujerumani

1 thought on “Ubantu na ukrioli wa Kiswahili”

  1. Nasoma chuo kikuu cha dodoma, kitivo cha elimu, madam neema luhwago katupatia kazi kuandaa bibliografia ya claude gm mung’ong’o, sasa taarifa za huyu ndugu hatuzipati, tafadhari mwenye taarifa zake kwa ujumla atupie mtandaoni tukamilishe kazi.
    Karibuni sana chuoni kwetu udom, real our proud, legarding our facilitators.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.