Ua hilo jama ua, laninyima usingizi
Ni ua la mkilua, kulipata kwa hirizi
Na miye nalililia, na moyoni sijiwezi
Lanifanyia udhia, kwa yake mengi mapozi
Nifanyeje?
Khelef Nassor Riyamy
5 Disemba 2011
Pemba
Poet. Multimedia Journalist. Author
Ua hilo jama ua, laninyima usingizi
Ni ua la mkilua, kulipata kwa hirizi
Na miye nalililia, na moyoni sijiwezi
Lanifanyia udhia, kwa yake mengi mapozi
Nifanyeje?
Khelef Nassor Riyamy
5 Disemba 2011
Pemba