Multimedia Journalist. Poet. Author

A renowed Swahili poet, multimedia journalist and novelist, Mohammed Ghassani was born in Zanzibar in 1977.
BOOKS BY MOHAMMED GHASSANI

So far, Mohammed Ghassani has himself authored seven books, six of which are of poetry and one is a novella know as Mja wa Laana, i.e. The Cursed. All books are available both as paperback and kindle version through online shops such as Amazon and Lulu.com.
ZANZIBAR DAIMA PUBLISHING

As a self-publishing online platform, ZDP was established in 2016 for the purpose of getting Swahili literature online.

“Tangu hapo nikagundua kuwa nimekutana na mshairi chipukizi gwiji, mwenye kipawa kikubwa chenye mwangwi wa kazi za washairi maarufu wa Kiswahili. Kazi za akina Muyaka bin Haji Al-Ghassany, Abdilatif Abdalla, Ahmad Nassir wa Mvita, na akina Kamange na Sarahani wa Pemba.” – Kwenye Machozi Yamenishiya: Diwani ya Mohammed Ghassani
Profesa Said A. M. Khamis

Tukiviacha vitambulisho vya isimu zake, Mohammed Ghassani ana vipaji vinavyomfanya awe na vitambulisho vingine tafauti: mshairi, mtangazaji wa redio ya kimataifa, mwanahabari, mwandishi, mpiga picha, mchapishaji vitabu na gwiji wa mitandao ya kijamii. Kwa ufupi, na kwa hakika, yeye ni taasisi kamili. Ni taasisi ya mtu mmoja yenye kukhusika na tasnia ya mawasiliano, kwa upana wake wote.