Our writings do not only define what we are and how we perceive the world around us but they also are an image of ourselves that will remain many years after we have departed this world.

Mohammed Ghassani

Tukiviacha vitambulisho vya isimu zake, Mohammed Ghassani ana vipaji vinavyomfanya awe na vitambulisho vingine tafauti: mshairi, mtangazaji wa redio ya kimataifa, mwanahabari, mwandishi, mpiga picha, mchapishaji vitabu na gwiji wa mitandao ya kijamii. Kwa ufupi, na kwa hakika, yeye ni taasisi kamili. Ni taasisi ya mtu mmoja yenye kukhusika na tasnia ya mawasiliano, kwa upana wake wote.

Ahmed Rajab

“Nimemjua Mohammed Ghassani kwa zaidi ya miaka kumi kupitia maandishi yake mbalimbali yanayochapishwa kwenye magazeti ya Kiswahili nchini Tanzania…. Kwa hakika, nilivutiwa sana kwa umahiri uliomo kwenye maandishi yake, kwa ufundi wake wa lugha katika kuwasilisha mawazo yake na kwa uzito wa hoja zake.” Kalamu ya Mapinduzi: Mapambano Yanaendelea

Profesa Ibrahim Noor